44 Lakini aliyaangalia mateso yao,Aliposikia kilio chao.
45 Akawakumbukia agano lake;Akawahurumia kwa wingi wa fadhili zake;
46 Akawajalia kuhurumiwaNa watu wote waliowateka.
47 Ee BWANA, Mungu wetu, utuokoe,Utukusanye kwa kututoa katika mataifa,Tulishukuru jina lako takatifu,Tuzifanyie shangwe sifa zako.