5 Ni nani aliye mfano wa BWANA,Mungu wetu aketiye juu;
6 Anyenyekeaye kutazama,Mbinguni na duniani?
7 Humwinua mnyonge kutoka mavumbini,Na kumpandisha maskini kutoka jaani.
8 Amketishe pamoja na wakuu,Pamoja na wakuu wa watu wake.