20 Na Ogu, mfalme wa Bashani;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
21 Akaitoa nchi yao iwe urithi;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
22 Urithi wa Israeli mtumishi wake;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
23 Aliyetukumbuka katika unyonge wetu;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
24 Akatuokoa na watesi wetu;Kwa maana fadhili zake ni za milele.
25 Kila chenye mwili akipa chakula chake;Kwa maana fadhili zake ni za milele.