9 Nao wainuapo vichwa watu wanaonizunguka,Madhara ya midomo yao yawafunike.
10 Makaa ya moto yawaangukie, watupwe motoni,Na katika mashimo, wasipate kusimama tena.
11 Msingiziaji hatawekwa imara katika nchi,Mtu wa jeuri, uovu humwinda kumwangamiza.
12 Najua ya kuwa BWANA atamfanyia mnyonge hukumu,Na wahitaji haki yao.