Zab. 32:5 SUV

5 Nalikujulisha dhambi yangu,Wala sikuuficha upotovu wangu.Nalisema, Nitayakiri maasi yangu kwa BWANA,Nawe ukanisamehe upotovu wa dhambi yangu.

Kusoma sura kamili Zab. 32

Mtazamo Zab. 32:5 katika mazingira