2 Unisikilize na kunijibu,Nimetanga-tanga nikilalama na kuugua.
3 Kwa sababu ya sauti ya adui,Kwa sababu ya dhuluma yake yule mwovu.Kwa maana wananitupia uovu,Na kwa ghadhabu wananiudhi.
4 Moyo wangu unaumia ndani yangu,Na hofu za mauti zimeniangukia.
5 Hofu na tetemeko limenijia,Na hofu kubwa imenifunikiza.
6 Nikasema, Ningekuwa na mbawa kama njiwa,Ningerukia mbali na kustarehe.
7 Ningekwenda zangu mbali,Ningetua jangwani.
8 Ningefanya haraka kuzikimbiaDhoruba na tufani.