9 Ndipo adui zangu watarudi nyuma siku ile niitapo.Neno hili najua kuwa MUNGU yu upande wangu;
10 Kwa msaada wa MUNGU nitalisifu neno lake.Kwa msaada wa BWANA nitalisifu neno lake.
11 Nimemtumaini Mungu, sitaogopa;Mwanadamu atanitenda nini?
12 Ee Mungu, nadhiri zako zi juu yangu;Nitakutolea dhabihu za kushukuru.