4 Nitakaa katika hema yako milele,Nitaikimbilia sitara ya mbawa zako
5 Maana Wewe, Mungu, umezisikia nadhiri zangu.Umewapa urithi wao waliogopao jina lako.
6 Utaziongeza siku za mfalme,Miaka yake itakuwa kama vizazi vingi.
7 Atakaa mbele za Mungu milele,Ziagize fadhili na kweli zimhifadhi.