2 Hakika nimeituliza nafsi yangu,Na kuinyamazisha.Kama mtoto aliyeachishwaKifuani mwa mama yake;Kama mtoto aliyeachishwa,Ndivyo roho yangu ilivyo kwangu.
Kusoma sura kamili Zab. 131
Mtazamo Zab. 131:2 katika mazingira