1 BWANA, umkumbukie DaudiTaabu zake zote alizotaabika.
2 Ndiye aliyemwapia BWANA,Akaweka nadhiri kwa Shujaa wa Yakobo.
3 Sitaingia hemani mwa nyumba yangu,Wala sitapanda matandiko ya kitanda changu;
4 Sitaacha macho yangu kuwa na usingizi,Wala kope zangu kusinzia;