Zab. 59:16 SUV

16 Nami nitaziimba nguvu zako asubuhi,Nitaziimba fadhili zako kwa furaha.Kwa kuwa ndiwe uliyekuwa ngome yangu,Na makimbilio siku ya shida yangu.

Kusoma sura kamili Zab. 59

Mtazamo Zab. 59:16 katika mazingira